QUALITY EDUCATION FOR QUALITY LIFE
The appearance of administrative buildings, classrooms, assembly ground and a smartness gardens with beautiful flowers.
QUALITY EDUCATION FOR QUALITY LIFE
This is a place where scientific experiments are done.Science subject's teachers and students, meets here and learn by doing.It is a one among three rooms of new laboratories.
QUALITY EDUCATION FOR QUALITY LIFE
STAFF ROOM: All teachers meets here to relax,to do academic debates,to organize their daily activities related to their profession and planning on how to facilitate their youths (students).
QUALITY EDUCATION FOR QUALITY LIFE
AT CLASSROOM: students in the classroom, sitting calmly and confortably; responding to do the work as instructed and facilitated by their teeacher.
QUALITY EDUCATION FOR QUALITY LIFE
SIDE VIEW: other classrooms- buildings, assembly ground and gardens of beautiful flowers.
Wednesday, October 4, 2017
Tuesday, September 19, 2017
SANAA ZA NYIMBO, NGOMA NA MAIGIZO - LUSHOTO SEKONDARI
Mbali
na kujibidiisha katika masomo ndani darasani, pia vijana wetu
wanavipaji na uwezo wa mambo nje ya darasani. Katika nyanja za sanaa
za maonesho (maonyesho), baadhi ya wanafunzi wamejipambanua kiuwezo
katika maigizo, kucheza, ngoma, mitindo ya mavazi ya kada tofauti
tofauti na uimbaji.
Hivyo
katika shughuli za burudani kama siku ya maonyesho ya kitaaluma na
siku ya mahafali ama kukaribisha ugeni rasmi hapa shuleni, vijana
hawa wamekuwa wakifanya vizuri katika sanaa na vipaji walivyonavyo
kwa dhima ya kuburudisha, kuonya na kuelimisha.
Katika
picha . . . ni baadhi ya matukio ya sanaa za maonesho / maonyesho
yaliyofanywa na wanafunzi:
MAIGIZO
NGOMA
MITINDO
Onesho la mtindo / vazi la muumini ..... mtu mcha Mungu |
Onesho la mtindo / vazi la Kiongozi wa kidini - kikristo |
Onesho la mtindo / vazi la muumini ..... mtu mcha Mungu na Kiongozi wa kidini - Kiislam |
Onesho la mtindo / vazi la Hijab ..... mtu mcha Mungu - Muislam |
Onesho la mtindo / vazi la Uuguzi - Muuguzi (Mtumishi sekta ya Afya) |
Onesho la mtindo / vazi laKimasai - Utamaduni jamii ya Maasai |
Onesho la mtindo / vazi la Kitenge - Mishono ya nguo za Vitenge |
Onesho la mtindo / vazi la vitenge - na mavazi ya wasichana (ya heshima) |
Onesho la mtindo / vazi la khanga - mavazi ya nyumbani |
Onesho la mtindo / vazi la kijana - kijana wa kiume |
Onesho la mtindo / vazi la mhudumu wa vinywaji |
Onesho la mtindo / vazi la mkulima |
Washiriki wa mavazi na mitindo wakimalizia onyesho lao kwa pamoja |
NYIMBO
Kijana Nicholaus akionyesha uwezo na kipaji chake cha kucheza mziki kwa kujinyonga nyonga maarufu kama " Shaking Body'' |
*
* * * * * * * *
Saturday, August 12, 2017
FURAHA YA MKULIMA – LUSHOTO SEKONDARI
Mkulima huwa na furaha
awajibikapo katika hatua zote za kilimo tangu kuandaa shamba /
bustani, mbegu, kupanda, kutunza na kukuza mimea yake iwe katika
ubora unaostahili; aidha furaha zaidi huwa wakati wa mavuno, kutumia
ama kuuza kwa tija.
Hali hii haijifichi
miongoni mwa wanafunzi – wanakikundi wa elimu ya kujitegemea (EK)
na uzalishaji mali wa hapa shuleni. Kwa nyakati tofauti mbali na
vipindi vyao vya darasani, pia wanafunzi hupata fursa ya kujifunza na
kushiriki shughuli za ujasilia mali kwa vitendo.
Sasa ni wakati wa mazumo
na mauzo, baada ya shughuli mbalimbali za upandaji, ukuzaji na
utunzaji wa bustani. Mavumo yapatikanayo, uweza kugawiwa kwa
wanafunzi na wanakikundi ama kuuzwa na fedha ipatikanayo kuweza
kusaidia baadhi ya wanafunzi wenye uhitaji wa vifaa ya kujifunzia
kama vile kununua madaftali, kalamu na nyakati nyingine fedha hizo
hutumika kununua mbegu, madawa na vifaa vya bustanini kama vile
mipira ya maji (kumwagilia), ndoo / madumu ya maji, nk.
Vijana hufurahia sana
elimu hii shirikishi ya wakiwa darasani na wakiwa nje ya darasa kwa
kazi za ujuzi zaidi.
FORM ONE CLASS OF 2017 – LUSHOTO SECONDARY SCHOOL
In January 2017, Lushoto
secondary school registered about 111 students, where girls are 55
and boys are 56. These students are from different primary schools
nearby Lushoto secondary, for instance Yoghoi primary school, Kwesimu
primary school, Kitopeni primary school, Lushoto primary school
(a.k.a Hazina primary school ), Mhelo primary school and
Kwembago primary school.
With academic courage,
morale, focus, prosperity and discipline, these students (Form one
class of 2017, in groups of girls, boys and all gender respectively,)
are appeared in different pictures below . . .
*****************************