Wafuatao ni wanafunzi waliofanya vizuri na kufaulu kwa kiwango cha divisheni ya pili na ya tatu (Division II & III) katika mitihani ya taifa ya kumaliza kidato cha nne mwaka 2016.
Katika kuadhimisha wiki
ya sheria nchini tanzania, wilaya ya lushoto na uongozi mzima ngazi
ya mahakama ya lushoto; walipata wasaa wa kutembelea jumuiya ya
sekondari ya lushoto.