Pages

Saturday, July 30, 2016

JUMUIYA YA LUSHOTO SEKONDARI YAFANYA BARAZA LA SHULE

Siku ya tarehe 29 July 2016, ni siku ya pekee sana hasa kwa jumuiya ya lushoto sekondari inayojumuisha walimu, wafanyakazi wasio walimu na wanafunzi wote; ambapo walikutana kwa pamoja ili kujadiliana na kupanga mikakati dhidi ya kumpiga adui '' UJINGA na MWENENDO MBAYA'' hasa katika mustakabali mzima wa maisha ya kitaaluma.

JUMUIYA YA LUSHOTO SEKONDARI YAFANYA BARAZA LA SHULE

Siku ya tarehe 29 July 2016, ni siku ya pekee sana hasa kwa jumuiya ya lushoto sekondari inayojumuisha walimu, wafanyakazi wasio walimu na wanafunzi wote; ambapo walikutana kwa pamoja ili kujadiliana na kupanga mikakati dhidi ya kumpiga adui '' UJINGA na MWENENDO MBAYA'' hasa katika mustakabali mzima wa maisha ya kitaaluma.