Siku ya tarehe 29 July 2016, ni siku ya pekee sana hasa kwa jumuiya ya lushoto sekondari inayojumuisha walimu, wafanyakazi wasio walimu na wanafunzi wote; ambapo walikutana kwa pamoja ili kujadiliana na kupanga mikakati dhidi ya kumpiga adui '' UJINGA na MWENENDO MBAYA'' hasa katika mustakabali mzima wa maisha ya kitaaluma.